Genesis 2:7-8
7 a Bwana Mwenyezi Mungu alimuumba mtu kutoka mavumbi ▼▼ Neno la Kiebrania la mavumbi ya ardhi ndilo kiini cha jina Adamu.
ya ardhi, akampulizia pumzi ya uhai puani mwake, naye mtu akawa kiumbe hai. 8 cBasi Bwana Mwenyezi Mungu alikuwa ameotesha bustani upande wa mashariki, katika Edeni, huko akamweka huyo mtu aliyemuumba.
Copyright information for
SwhKC